Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,953

ha ha ha baada ya dakika 15 narudi kuendesha fuso yangu angalau nifike hata chalinze;nyie muendelee kulalamika tu....kwa nini mvua zimezidi..mara leo baridi n.k wakati ni ukuta...msiteseke na baridi au kwa kujifunika ngumi wakati mablanketi yapo kila kona yanauzwa kwa kila bei
Sent using Jamii Forums mobile app
