JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kuwa makini kijana 😆😆😆
ha ha ha baada ya dakika 15 narudi kuendesha fuso yangu angalau nifike hata chalinze;nyie muendelee kulalamika tu....kwa nini mvua zimezidi..mara leo baridi n.k wakati ni ukuta...msiteseke na baridi au kwa kujifunika ngumi wakati mablanketi yapo kila kona yanauzwa kwa kila bei
 
ha ha ha baada ya dakika 15 narudi kuendesha fuso yangu angalau nifike hata chalinze;nyie muendelee kulalamika tu....kwa nini mvua zimezidi..mara leo baridi n.k wakati ni ukuta...msiteseke na baridi au kwa kujifunika ngumi wakati mablanketi yapo kila kona yanauzwa kwa kila bei
Nasubiria nzuzi zako baada ya hizi sikukuu kupita uadisie visanga utakavyo kutana navyo siku za Xmas na New Year 😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom