JamiiForums Usiku wa manane
Inafurahisha kusikia kila mwanaume akijisifia kusakata kambumbu safi enzi za ujana wake.

Hivi Nleterewa Nganengo wewe ulikuwa unacheza namba ngapi vile?
Mimi mwenzio sijaacha 'u-goli kipa' tangu enzi hizo mpaka sasa.
Na kweli jasiri haachi asili, ni hakika una uwezo mkubwa wa kudaka vingi.
Kwa ile milima, miba na migomba ningepata wapi muda wa hata kuwaza soka.
Mimi uhodari wangu ulikuwa kwenda kuwinda tumbili, wana nyama tamu sana.
 
Back
Top Bottom