Introver
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 565
- 656
OkSubiri giza liingie...
OkSubiri giza liingie...
Hii ni emergency sasaAkuje usiku, sasa hivi tumelala
NdioSheria inafuata EAT tu?![]()
Ndio
Na kweli jasiri haachi asili, ni hakika una uwezo mkubwa wa kudaka vingi.Inafurahisha kusikia kila mwanaume akijisifia kusakata kambumbu safi enzi za ujana wake.
Hivi Nleterewa Nganengo wewe ulikuwa unacheza namba ngapi vile?![]()
Mimi mwenzio sijaacha 'u-goli kipa' tangu enzi hizo mpaka sasa.![]()
Hahah...hivi usiku wa manane ni wa dunia yote Ronny2010
mimi huyuhuyu?
Khaa uchaguzi ulifanyika lini? Mlinichukulia fomu?Ulipita kwa kishindo sana hiyo Nafasi.
Usituangushe
Khaa uchaguzi ulifanyika lini? Mlinichukulia fomu?
Ooh sawaNitakurudisha nyuma kidogo..subiri giza liingie, wajumbe waje .