Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Hahahaha, itabidi nije tuungane tupige woteMi napigia home
Hahahaha, itabidi nije tuungane tupige woteMi napigia home
Seen
Mbona bado umelala
Mbona bado umelala
Safi next niite tupashe woteFresh sana,
Napasha
Hahahaha, unanikaribisha huku wanichekaKaribu![]()
Hii maana yake ni "i miss you three" ama "i don wanna be missed"...hehehehHaya ahsante![]()
Hujakosea, MwembechaiMakurumla ,makurumla hii mitaa ya magomeni ,hapo si uwanja wa soka ? Dah umenikumbusha kitambo
Asee sijarusha ngumi hewani kitambo ,nitakuja
Yeah, miaka ya nyuma ,tulichezaga hapo ndondo Fulani hiviHujakosea, Mwembechai
Hahah...mzee umepiga hadi ndondo!Yeah, miaka ya nyuma ,tulichezaga hapo ndondo Fulani hivi

Hahahaha, unanikaribisha huku wanicheka
Hahahaha ,Mkuu kuwa wa o'bay si hoja ya kucheza ndondoHahah...mzee umepiga hadi ndondo!
Hizo gemu nilikuwa naogopa sana kucheza maana kuvunjana nje nje, gemu labda za kikapu ndio nimekamua sana ndondo, unajifanya wa O'bay kumbe msaga sumu tu wa Ilala huko![]()
Tusije wapi!mi niko ndani nimekuona tokea unaingia...Nafanya usafi, msije kwanza!!
Sauti yako imenitoa usingizini.Leo unaangalia movie gani.

Hahahaha ,Mkuu kuwa wa o'bay si hoja ya kucheza ndondo
Halafu najichanganya balaa mitaani ,kikapu nimegusa sana lkn haukua mchezo naupenda km soka
Soka nimekula hela ya uswazi kdg



Inafurahisha kusikia kila mwanaume akijisifia kusakata kambumbu safi enzi za ujana wake.

