JamiiForums Usiku wa manane
Mimi maskini niende wapi?

Nianze wapi, nitamalizia wapi?
Kazi sina, deal yoyote mimi sina (kaza moyo)

Natoka asubuhi, narudi usiku bila kitu we
Apechalala ndefu mifukoni every day

Sisi masikini twende wapi?
Tuanze wapi, tutamalizia wapi?

Kazi hatuna, deal yoyote sisi hatuna
Waliopata kwani walishika kazi ya Mungu
Mola Baba sikia kilio chetu

Tabu na shida kila siku mimi (mimi)
Tabasamu lini utanipitia jamani? (jamani)
Maisha yangu kila siku kulia



Kwa hisani ya Christian Bella na Banana (USILIE)
 
Mimi maskini niende wapi?

Nianze wapi, nitamalizia wapi?
Kazi sina, deal yoyote mimi sina (kaza moyo)

Natoka asubuhi, narudi usiku bila kitu we
Apechalala ndefu mifukoni every day

Sisi masikini twende wapi?
Tuanze wapi, tutamalizia wapi?

Kazi hatuna, deal yoyote sisi hatuna
Waliopata kwani walishika kazi ya Mungu
Mola Baba sikia kilio chetu

Tabu na shida kila siku mimi (mimi)
Tabasamu lini utanipitia jamani? (jamani)
Maisha yangu kila siku kulia



Kwa hisani ya Christian Bella na Banana (USILIE)
Niende wapi nikimbie maaguuumu, maaguuumu.
Tabu za dunia zimeniandama..
I wish niweke huu wimbo hapa. Tunauimba kanisani hata haujarekodiwa
 
Back
Top Bottom