Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Bila shaka utakuwa wa kishua weweHaikuwa first option...
Nilikulia mazingira ambayo kikapu ilikuwa ndio mchezo wa kwanza kwa watoto wote

Bila shaka utakuwa wa kishua weweHaikuwa first option...
Nilikulia mazingira ambayo kikapu ilikuwa ndio mchezo wa kwanza kwa watoto wote

Bila shaka utakuwa wa kishua wewe![]()
Mmmh hebu nipe picha yako ya utotoni niamue mwenywewe la kushikaHahaha not real....
Haina maana kwamba sijacheza cha ndimu, nimecheza sana tu

Unasafisha nini boss, unadeki?Muda wa usafi huu
Unasafisha nini boss, unadeki?
Leo nafanya usafi wa mwili.....navuna nywele zaa huku


haki umenichekesha, kwani weekend una mtoko 
Hiko ni kiwanda hakikisha unalipa kodi.. na una Docs zote za TRA n TFDANiko bar tuko tunafanya ile process ya kuchakata pombe kua mkojo.
Ronny2010 kwema?
haki umenichekesha, kwani weekend una mtoko
![]()
mwana kumbe wakishua ww BBALL unacheza position gani?Haikuwa first option...
Nilikulia mazingira ambayo kikapu ilikuwa ndio mchezo wa kwanza kwa watoto wote

👋👋👋👋👋Salama kipenzi. Una sukari uniazime?
Maduka yameshafungwa huku kwetu.