Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,985
Msambwanda ni kama kachumbari kwenye pilau
aiseeMsambwanda ni kama kachumbari kwenye pilau
aiseeUshachelewaItakua aiseemaana dunia ndogo hii,
Kwa thad nimetulia sitomsumbua,umri nao umenitupa mkono

Bae si ni kweli huna msambwanda we ni mtu wa fashyooooniAti sina nini?![]()


Majuto ni mjukuuMajuto ni marehemuMajuto ni mjukuu
nitembee naangalia chini akati huwa napenda sura za wanawake weupe (warabu)


Tobaaaa!Muda baro unaruhusu,ni raha tu (kwa sauti ya Ay)Ushachelewa![]()
Na anatufanya hata tushindwe kuomba uchumba....kumbe nae ni mpenzi hewa, tupe nafasi wengine tufanye mapinduzi,ili ajutie kuchezea nafasiAchana nae huyo anataka kunizibia riziki tu kwa watanashati wa humu![]()
Kweli,ndio ka ugonjwa kangu hakoTobaaaa!
Wacha weee! Ama kweli jasiri haachi asiliHahaha
Kuna wanawake wana mitego,leo usiku nimekutana na katoto ka certificate nguo kaliyovaa ilinilazimu kusimama

Mitego ya tega ni kutegeMitego gai tena mnategeana

Sawa mekuUsiku mwema wakuu.
Tega tu wengine tutegekeMitego ya tega ni kutege![]()
Na anatufanya hata tushindwe kuomba uchumba....kumbe nae ni mpenzi hewa, tupe nafasi wengine tufanye mapinduzi,ili ajutie kuchezea nafasi
kwahiyo nimegjushi cheti cha maprnziWacha weee! Ama kweli jasiri haachi asili![]()
kale katoto ile nguo ni ya kuvaliwa clubTangu lini mjaluo akawa mweupe?Nimestuka
Akati najua wewe ni mweupe alafu flat screen
Umegushi mzee ...ngoja nikajisogeze nina vyeti certified kabisakwahiyo nimegjushi cheti cha maprnzi
Wewe apo sio mjaluoTangu lini mjaluo akawa mweupe?