JamiiForums Usiku wa manane
Hata mtu akitaka kukukashfu utasikia 'unat***wa nini'? Yaani kwamba kufanyiwa hivyo ni jambo la udhalilishaji
Yeah..Ila mwanaume kutia ni sifa/ujanja

Kuna dada ametembea na rafiki wa mpenzi wake..Huyo rafiki alikuwa anajua huyu ni demu wa mshkaji ila akafanya kila mbinu mpaka akamla..Mwisho wa siku demu anaonekana malaya halafu jamaa anaonekana mjanja..
 
Yeah..Ila mwanaume kutia ni sifa/ujanja

Kuna dada ametembea na rafiki wa mpenzi wake..Huyo rafiki alikuwa anajua huyu ni demu wa mshkaji ila akafanya kila mbinu mpaka akamla..Mwisho wa siku demu anaonekana malaya halafu jamaa anaonekana mjanja..
Hahah halafu utasikia mtu bila aibu anaimba wanaume tumeumbwa mateso
 
Teh
tapatalk_1559124032593.jpeg
 
Kaka tena??
Akutake radhi
Dogo amekaririshwa kutukana kwa njia hiyo.
Kumbe kanitukana sikujua
Ana hizo swaga, ni zaidi ya mara 10 nimemsoma hivyo.
Basi ni mpumbavu
Ni utoto.
Haitoshi..Itabidi anipe na zawadi
Nikajua wanafahamiana/wanataniana..
Japo siyo usiku Wa manane, ila inanibidi tu nijibu haya mazungumzo yenu!
Kumuita Khantwe kaka, si kweli kwamba nimemtukana, hapana, ni swaga tu nimependa nimuite hivyo.
Kwahiyo naomba nisieleweke tofauti.
Asante!
 
Japo siyo usiku Wa manane, ila inanibidi tu nijibu haya mazungumzo yenu!
Kumuita Khantwe kaka, si kweli kwamba nimemtukana, hapana, ni swaga tu nimependa nimuite hivyo.
Kwahiyo naomba nisieleweke tofauti.
Asante!

Siyo mara moja, wala mara mbili, wala mara tatu umekuwa ukiwajibu kwa kubadilisha jinsia kwa wale ambao umetofautiana nao.

Nadhani sihitaji kuleta screenshots za hizo responses zako.

Kiheshima tu, badili hizo swaga. Wengi tunaitafsiri kama dharau.

Nimekujibu kwa sababu najua una uelewa wa kujirekebisha, na pia wewe ni mtu ambaye napenda kuona unaendelea kuonesha character nzuri humu.

Please, ni ushauri tu.

Cc Khantwe, Kaboom.
 
Siyo mara moja, wala mara mbili, wala mara tatu umekuwa ukiwajibu kwa kubadilisha jinsia kwa wale ambao umetofautiana nao.

Nadhani sihitaji kuleta screenshots za hizo responses zako.

Kiheshima tu, badili hizo swaga. Wengi tunaitafsiri kama dharau.

Nimekujibu kwa sababu najua una uelewa wa kujirekebisha, na pia wewe ni mtu ambaye napenda kuona unaendelea kuonesha character nzuri humu.

Please, ni ushauri tu.

Cc Khantwe, Kaboom.
Achana na huyo mtoto mpuuzi asitukaushe uzazi
 
Back
Top Bottom