JamiiForums Usiku wa manane
Mimi niliwahi kumpisha mtu akaniambia ina maana umeniona mimi mzee sana? Tangu siku hiyo nampisha mjamzito au mzee mwenye mvi tena nae niwe nimemuona anapata tabu alivyosimama
Mimi sifanyi kwa huruma, nalazimika tu.

Kuna mzee siku moja nilimpisha, akaanza kunichana, akasema we umetoka mkoani lini?
 
Mimi niliwahi kumpisha mtu akaniambia ina maana umeniona mimi mzee sana? Tangu siku hiyo nampisha mjamzito au mzee mwenye mvi tena nae niwe nimemuona anapata tabu alivyosimama

Yule mzee siku ya siku ikatokea akapanda akanikuta, kumbe watu wanamjua ni mtata.

Mimi nikamkumbuka, nikajikausha, ilikuwa route ya Muhimbili - Mbezi, akaanza kuongea ooh vijana hampishi. Nikamwambia walioko humu wote wagonjwa, bora hata wewe.
 
Siyo mara moja, wala mara mbili, wala mara tatu umekuwa ukiwajibu kwa kubadilisha jinsia kwa wale ambao umetofautiana nao.

Nadhani sihitaji kuleta screenshots za hizo responses zako.

Kiheshima tu, badili hizo swaga. Wengi tunaitafsiri kama dharau.

Nimekujibu kwa sababu najua una uelewa wa kujirekebisha, na pia wewe ni mtu ambaye napenda kuona unaendelea kuonesha character nzuri humu.

Please, ni ushauri tu.

Cc Khantwe, Kaboom.
Daaah huyu dogo kumbe ni makusudi ata mimi ananiitaga hivyo alafu mara kibao namwambia me sio kaka haskii.ila umempa ushauri mzuri asipofuata basi kiburi kimetaradadi
 
Umemshauri vyema kabisa.
Siyo mara moja, wala mara mbili, wala mara tatu umekuwa ukiwajibu kwa kubadilisha jinsia kwa wale ambao umetofautiana nao.

Nadhani sihitaji kuleta screenshots za hizo responses zako.

Kiheshima tu, badili hizo swaga. Wengi tunaitafsiri kama dharau.

Nimekujibu kwa sababu najua una uelewa wa kujirekebisha, na pia wewe ni mtu ambaye napenda kuona unaendelea kuonesha character nzuri humu.

Please, ni ushauri tu.

Cc Khantwe, Kaboom.
 
Back
Top Bottom