mwakajingatky
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 558
- 927
Hivi vitu hua vinaliaga usiku kama wadudu ni nini,au ni imagination zangu tuu...chii chii chiii chiii (ndo vinavolia),
Nimekaa sipati majibu
Nimekaa sipati majibu
Daaah huyu dogo kumbe ni makusudi ata mimi ananiitaga hivyo alafu mara kibao namwambia me sio kaka haskii.ila umempa ushauri mzuri asipofuata basi kiburi kimetaradadi
Yes, nadhani atakuwa ameelewa.
Umemshauri vyema kabisa.
Sikujua kuwa ina tafsriwa vibaya namna hiyo, nilikuwa nikifanya kwa kujifurahisha tu, kumbe wengine walinielewa vibaya, OK nimeacha, nimeacha ujinga ule.Tunakumbushana umuhimu wa kupeana heshima kila mtu kwa stahili yake.
03:21
Si unajua tenaMkuu unatpye tuu au sio?,kama kwenye avatar yako

Mbn lindo liko wazi, vipi ndio week end ?
Sikujua kuwa ina tafsriwa vibaya namna hiyo, nilikuwa nikifanya kwa kujifurahisha tu, kumbe wengine walinielewa vibaya, OK nimeacha, nimeacha ujinga ule.
Bi Dada swalama.Ticha hulali au unasoma vitabu![]()
SwalamaaaBi Dada swalama.
Vizuri kama umejirekebisha na kutambua ulikua unakwaza watuSikujua kuwa ina tafsriwa vibaya namna hiyo, nilikuwa nikifanya kwa kujifurahisha tu, kumbe wengine walinielewa vibaya, OK nimeacha, nimeacha ujinga ule.
Vizuri kama umejirekebisha na kutambua ulikua unakwaza watu
Unavunja miiko kaka, huu uzi ni special wakati wa usiku, tena usiku wa manane,Kwema huku jaman......
Unavunja miiko kaka, huu uzi ni special wakati wa usiku, tena usiku wa manane,
sasa ona, huu ni mchana, tena mchana wa jua kali. Tena wewe mwenyewe ndiye uliyeuanzisha, kuwa uwe maalumu kwa mapopo!
[/QUOTE
Dunia Duara kaka! Samahani kwa usumbufu nimewamiss sana wadau wangu na huu ndio muda nimepata nimeona niwasalimu Tu.