Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Nikajua wanafahamiana/wanataniana..
Hapana, yuko hivyo.
Nikajua wanafahamiana/wanataniana..
Muda wa kupanda huu mke.Huko mimi sipo tena mume
Unamaanisha kukwea au kuotesha?Muda wa kupanda huu mke.
Karibu Zurii house of beautyNipo ...
Ninyi mkiitwa dada mnaona mmetukanwa sana
Kuotesha basiUnamaanisha kukwea au kuotesha?
TwenzetuKuotesha basi
Unahisi ni kwann??Ninyi mkiitwa dada mnaona mmetukanwa sana
Kwa sababu imezoeleka kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu, duni kwa hiyo ukiitwa hivyo unaona umetwezwaUnahisi ni kwann??
Tunaenda kulala sio kuanza kazi zingineNdo mana nakupenda..Kidogo kidogo unaanza kuzoea![]()
![]()
Kwa sababu imezoeleka kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu, duni kwa hiyo ukiitwa hivyo unaona umetwezwa
Mnaonewa sana...Hata tendo linalotendwa na wote still mwanamke ndo anaonekana mtendwa..Utasikia yule kaliwa na flani ila sio wamekulana..Kwa sababu imezoeleka kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu, duni kwa hiyo ukiitwa hivyo unaona umetwezwa
Sio kazi..Sema burudaniTunaenda kulala sio kuanza kazi zingine