Eeehh hao wanang'ata balaa akikupata sting moja ya uso, uso unaumuka kama andazi lililozidi hamira na unaumuka week nzima.![]()
Nadhani hawa kwetu tunaita Uvi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeehh hao wanang'ata balaa akikupata sting moja ya uso, uso unaumuka kama andazi lililozidi hamira na unaumuka week nzima.![]()
Ubaya wa nyuki wanang'ata wengi kama jeshi ila nyingu inakuaga ni mission ya mtu mmoja.Hivi ni bora nyigu akung'ate au nyuki


Sijui ila wapo species tofauti tofauti kuna wengine tunaita dondola
Haha hawa si ndio wakishakung'ata wanaacha kimwiba flan hv,,ukichelewa kukitoa ndio unaumukaUbaya wa nyuki wanang'ata wengi kama jeshi ila nyingu inakuaga ni mission ya mtu mmoja.
Tukisema kwa mmoja mmoja ni bora ung'antwe na nyuki kuliko nyingu.
Nyigu ubaya wake mwingine hakuachii kimshale kama nyuki. Nyuki ndio anaacha ka mshale na akishang'ata mara moja ndio basi.Haha hawa si ndio wakishakung'ata wanaacha kimwiba flan hv,,ukichelewa kukitoa ndio unaumuka



Haha hawa si ndio wakishakung'ata wanaacha kimwiba flan hv,,ukichelewa kukitoa ndio unaumuka
Nyuki anaacha mwiba nyigu haachi. Ndipo hapo nyingu anakuwa hatari zaidi ya nyuki kwasababu anaweza kukupiga multiple stings while nyuki ni only one sting.
Hahaha hawa wamening'ata sana enzi za utoto,bhas ilikuwa uking'atwa wanakuambia chukua kitunguu maji then upake pale ulipong'atwa uvimbe utakwisha hahaNyigu ubaya wake mwingine hakuachii kimshale kama nyuki. Nyuki ndio anaacha ka mshale na akishang'ata mara moja ndio basi.
Sasa ukichokoza nyingu anakupa multiple dose mpaka ukome![]()
Nyuki anaacha ila nyigu kumbe ndio haachi kile kimwiba chake
Nyuki anaacha mwiba nyigu haachi. Ndipo hapo nyingu anakuwa hatari zaidi ya nyuki kwasababu anaweza kukupiga multiple stings while nyuki ni only one sting.
Nyuki wako deadly tu kutokana na kuwa wengi kwa group moja na wana attack as a team.
Nyingu/dondolaView attachment 1014643
KK group
Kabsa mkuu,,,bado kidogo kupambazuke
pamoja dada. Unitengenezee maakuli mazuri basi 
Ni kweli tuwaachie lindo wengineKabsa mkuu,,,bado kidogo kupambazuke
Iwe kwako pia kopAmani ya Bwana iwe nanyi.
Amen👏👏👏Amani ya Bwana iwe nanyi.