Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Hahah sawa bro,,ww pumzka bhana,,ila karbu sana,uwe unapita mara kwa mara,polepole utazoea tu
Ha ha ha itapendeza sana wallah
Nitalifikiria hili .. ila mpaka nigundue mbinu mnazo zitumia.. nisije ingia kichwa kichwa tu nikaambulia za uso .... hapa saa 11 yatakiwa niwe macho .. imagine
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitalifikiria hili .. ila mpaka nigundue mbinu mnazo zitumia.. nisije ingia kichwa kichwa tu nikaambulia za uso .... hapa saa 11 yatakiwa niwe macho .. imagine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa maziwa ya uvuguvugu unajiskia kulala haraka.
Lala izo 2 hrs deep sleep,amka unywe one cup of cofee, it will keeps you awake.
Vinasaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona tumebaki wawili tu humu lindoni au sioni vizuri.
Wadau wawe wana aga huu mtindo wa kimya kimya sio mzuri kabisa.
Nilienda kususu tu 😎Naona tumebaki wawili tu humu lindoni au sioni vizuri.
Wadau wawe wana aga huu mtindo wa kimya kimya sio mzuri kabisa.
Hahaha mkuu cheki vizuri sio mbu hao ni nyigu 🤣🤣shinyanga kuna mbu ataree wanangata kwe koti inachomaa ad ndani
Hahaha mkuu cheki vizuri sio mbu hao ni nyigu 🤣🤣
Umempata?


Eeehh hao wanang'ata balaa akikupata sting moja ya uso, uso unaumuka kama andazi lililozidi hamira na unaumuka week nzima.




Hivi ni bora nyigu akung'ate au nyukiEeehh hao wanang'ata balaa akikupata sting moja ya uso, uso unaumuka kama andazi lililozidi hamira na unaumuka week nzima.![]()