JamiiForums Usiku wa manane
Sasa tungelala wewe ulieachwa ungeongea Na nani?

There is no coincidence in life


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ... sasa hapa hamnisaidii yatakiwa mniombee tu nilale ... hauoni kuwa nitaanza kusinzia sinzia kazini na hatimae kupunguza ufanisi wa kazi ... mwisho wa siku kazi nitafukuzwa na mwanamke nitakuwa nimekosa .... hiyo inaitwa kukosa +

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah wapi... madada wa mjini wakikucha hawa kubali matokeo ..ukiendelea kumfuata fuata hakawii kukupigia kelele za mwizi mbele ya kadmanasi .. waweza kukuta amepata li sponcer huko ..wewe unazidi kumganda tu anaona kwamba unambania riziki (wenyewe huwa wanasema usini haribie ugali wangu ) so ukiendelea kumganda anakupigia kelele za mwizi kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ... sasa hapa hamnisaidii yatakiwa mniombee tu nilale ... hauoni kuwa nitaanza kusinzia sinzia kazini na hatimae kupunguza ufanisi wa kazi ... mwisho wa siku kazi nitafukuzwa na mwanamke nitakuwa nimekosa .... hiyo inaitwa kukosa +

Sent using Jamii Forums mobile app

Tutakusaidiaje Na hatujui umechwa kwasababu gani?

Night night anyway.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom