Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137

Itakua ivyo na alivyo mgonjwa wa misambwanda sijui kama uko alipo amepona
Bado sijui yuko wapi mpaka saa hizi, pengine kakutana na mdada mwenye msambwanda njiana hivyo anamuimbisha kwanza

Bado sijui yuko wapi mpaka saa hizi, pengine kakutana na mdada mwenye msambwanda njiana hivyo anamuimbisha kwanza
Cool buddy,how are you??
Hivi kumbe umepita pale?Komredi naona unaelekea kudeal na yule anayehitaji watu walioenda hewani kimya kimya![]()

almanusura nikuite ili ujiokotee dodo chini ya mkaratusiAah! Kumbe sisi tunaofanana na babu zetu hatuhusikiMabinti ambao sura zao zinafana na mama zao.
Duuh bibie upo, naona mlipotea ghafla na "Baba Chanja" hakika tumewakumbuka sana.Mzee wa kirungu umepanda cheo...
Hapa panaitwa mtacome😀😀😀😀So cool, happy that you get time to come say hi to us, we appreciate.
Nipo afande kirungu. Usimsumbue Thad wangu. Mie hapa naenda kudondosha hakikisha hutoki kwenye CCTV Basi. Nitakunywa supu kesho.Duuh bibie upo, naona mlipotea ghafla na "Baba Chanja" hakika tumewakumbuka sana.
Ngoja nimwambie Thad achinje yule jogoo mbishi umnywe supu.
Ngoja tumsubiri atakuja tu kukuangalia maana bila kukuona hapatagi usingizi![]()
Itakua ivyo na alivyo mgonjwa wa misambwanda sijui kama uko alipo amepona
Hivi kumbe umepita pale?almanusura nikuite ili ujiokotee dodo chini ya mkaratusi
Aah! Kumbe sisi tunaofanana na babu zetu hatuhusiki
Jogoo wangu hachinjwi, japo mbishi mwacheni hivyo hivyo, hapa ni karibu mgeni mwebyeji apone. Walete zawadi walizokuja nazo kwanzaDuuh bibie upo, naona mlipotea ghafla na "Baba Chanja" hakika tumewakumbuka sana.
Ngoja nimwambie Thad achinje yule jogoo mbishi umnywe supu.
Hapa panaitwa mtacome😀😀😀😀
Usingizi kama wote.
Good night buddies
Komasmita agashi, nimefurahi sana kukuona hapa leo.Nipo afande kirungu. Usimsumbue Thad wangu. Mie hapa naenda kudondosha hakikisha hutoki kwenye CCTV Basi. Nitakunywa supu kesho.
![]()
![]()
![]()
Kusoma najua hujui, hata picha hukuona?
Hukuona anajiuliza ladies wako wapi wakati ulikuwepo?


kweli aisee
Sio kombolela pekee zinaruka na judoKuna mbu ipo chini ya meza, nikichungulia siioni, nikiweka miguu inaning'ata. Mbu za Dar zinacheza hadi kombolela.
Kuna mbu ipo chini ya meza, nikichungulia siioni, nikiweka miguu inaning'ata. Mbu za Dar zinacheza hadi kombolela.

T, how are you?kweli aisee
Asante kwa kunifumbua macho swahiba