capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
I think someone has mistakenly sent me Money, 10 hours ago.. I tried to call not reachable.. 24hours Hanitafuti Naitoa....
Wewe hawa mbu wa MO11 unawajua au unawasikia tu...mbu wanakula mpaka ugali kama binadamu unadhani utawaua kwa poa na vijidawa vya kusprayTumia hiyo poda ya sisimizi, hakikisha unajipaka mwili mzima, na hukikisha mwili wako unakua huru pasi na kufunikwa nguo yeyote![]()
Napita Nilikuja Kulifungua TuBora umekuja kufungua maana wengine hapawalipitia dirishani
Hivi ladies ndo akina nani?Watakua wanavaa gwanda huku wakiweka sawa ndoa zao ndo waje mkuu, vuta subira.

Pamoja na hayo, naomba usiondoke bila kuonana na SHIMBA YA BUYENZELindo la Leo kuna mbu wengi
Lindo la Leo kuna mbu wengi
Hawa wakija niwaambieje?Napita Nilikuja Kulifungua Tu
jje's
Maserati
Inna
dark angel
carbamazepine
dingimtoto
HB wa kigogo
mtu chake
Iceman 3D
Nipo komredi, mimi huwa niko hapa kila siku sema saivi sionekani sana sababu nimetolewa getini na kupelekwa chumba cha CCTV.
Pamoja na hayo, naomba usiondoke bila kuonana na SHIMBA YA BUYENZE
KKNapita Nilikuja Kulifungua Tu
jje's
Maserati
Inna
dark angel
carbamazepine
dingimtoto
HB wa kigogo
mtu chake
Iceman 3D
Mzee wa kirungu umepanda cheo...Nipo komredi, mimi huwa niko hapa kila siku sema saivi sionekani sana sababu nimetolewa getini na kupelekwa chumba cha CCTV.
Hahahaha kwa ninavyomjua Thad hilo ulilosema litakua kinyume chake, (hashindwi kusema namzibia riziki)
Mie nimejileta tayari. Mambo??Hawa wakija niwaambieje?
Okay,Watakua wanavaa gwanda huku wakiweka sawa ndoa zao ndo waje mkuu, vuta subira.
Wewe hawa mbu wa MO11 unawajua au unawasikia tu...mbu wanakula mpaka ugali kama binadamu unadhani utawaua kwa poa na vijidawa vya kuspray
Hivi shimba bado hajafika?
Mzee wa kirungu umepanda cheo...
Komredi naona unaelekea kudeal na yule anayehitaji watu walioenda hewani kimya kimyaNapita Nilikuja Kulifungua Tu
jje's
Maserati
Inna
dark angel
carbamazepine
dingimtoto
HB wa kigogo
mtu chake
Iceman 3D

Mabinti ambao sura zao zinafana na mama zao.Hivi ladies ndo akina nani?![]()
Cool buddy,how are you??Old guard, how are you?