JamiiForums Usiku wa manane
All iz well
main-qimg-bdc9d190d47a6915f24c8dc92f349df9-c.jpeg
 
Baada ya kupita huyu,akafata na huyu,yule wa kwanza alikuwa na huyu,hata yule alimuona huyu... Yaani ni huyu huyu... Vipi huyu amkane huyu,,wakati yule wa pili alikuwa na huyu.

Ona sasa dunia ina muhukumu huyu kwa kosa la huyu,alipokuja huyu pamoja na huyu ,huyu alikuwa ameshafanya kosa dhidi ya huyu.

Naandika ukweli kuhusu huyu......

Sitaki maswali ...
 
Back
Top Bottom