JamiiForums Usiku wa manane
Meaning if I say we are not.....i will be lying?


Sometimes, what is said, may not reflect the reality, you can decide what to say and how to say it, it doesn't mean yiu are telling the truth/ reality......


Kuanaa darasa kwa rasi Simba leo tu nabomoka namna hii britishi, itabidi anivushe kudato. Au nimelewa mie?
 
Nakuja tuanze Darasa pamoja....

Hebu shindwa kabisa mie staki mtu aunge mkino juhudi zangu mkono.
Unataka kunifanya nishindwe kushine sio?

Njoo ila hakikisha umejipanga, amesema usipoelewa kwake kwanza, anakurudishia mpunga wako wa ada, pili usihangaike kwenda kusoma hii kitu inaitwa kiingereza popote pale.
 
Hebu shindwa kabisa mie staki mtu aunge mkino juhudi zangu mkono.
Unataka kunifanya nishindwe kushine sio?

Njoo ila hakikisha umejipanga, amesema usipoelewa kwake kwanza, anakurudishia mpunga wako wa ada, pili usihangaike kwenda kusoma hii kitu inaitwa kiingereza popote pale.

Basi niandikishe darasa la jioni...wewe uende la asubuhi
 
Back
Top Bottom