JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu. Nothing serious lakini unafikiri ni sawa kumwanika huyo binti na namba yake kabisa? Hujafanya vizuri kamanda kama unayosema ni ya kweli. Alikupa raha kwa upendo na inavyoonekana kwa sasa ana mtu mwingine ndiyo maana anakuona kama unataka tu kumtibulia. Yote kwa yote hukuwa na haki ya kuweka meseji zake hapa na namba zake. Tukumbuke tu dunia ni hii hii na maisha ni haya haya. Unayemdhalilisha leo kumbe ndiye atakayekusaidia kesho na kesho kutwa. Ningekuwa wewe ningezifuta hizo screenshots na kuwaomba wote waliozikwoti kuzifuta pia...Ubinadamu
Sikuwahi kujua kama una busara kiasi hiki
 
Back
Top Bottom