Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Laki moja mkuu![]()
Acha masihara Mzee Laki moja shilingi au dola?
Laki moja mkuu![]()
Hiyo tangulia nakuja imenipa mashaka sana, huenda hiyo safari nikajikuta niko mwenyewe.
Wacha weeh, sasa mbona kama kabinti kawatu kanatokwa povu, umekafanya nini aisee?Yeah tulishadate kabsa
Mda xana almost mwaka umepita tukala raha weeee then nkasepa xaxa katikat ya August tumeonana lakn ndo hvyo anahc bado nko vile vile kwamba ntakul n kusepa ndo povu Kama hiloWacha weeh, sasa mbona kama kabinti kawatu kanatokwa povu, umekafanya nini aisee?
Aisee, kuna siku niliwahi kuambiwa nitangulie kisimani nakuja, ila mpaka mbalamwezi unapoteza uwezo wake wa kuangaza sikuona mtu, sasa jani limenigusa nahisi ni nyoka tena.Sababu sijui unipelekako....
Nitakuwa hapo nyuma hatua 5 nyingi....
Aisee, kuna siku niliwahi kuambiwa nitangulie kisimani nakuja, ila mpaka mbalamwezi unapoteza uwezo wake wa kuangaza sikuona mtu, sasa jani limenigusa nahisi ni nyoka tena.
Ahaah sasa nimekulewa.Mda xana almost mwaka umepita tukala raha weeee then nkasepa xaxa katikat ya August tumeonana lakn ndo hvyo anahc bado nko vile vile kwamba ntakul n kusepa ndo povu Kama hilo
Ukowap umemjuajeAhaah sasa nimekulewa.
Ningekua Mchungaji ningekuambia uikimbie zinaa.
Ningekua mzazi wako ningekwambia umekua uoe sasa.
Ila kwavile mimi ni mlinzi mwenzio, nakushauri nenda pande za Mashariki ya mbali na uhakikishe geti liko salama.
Hahaha hata usihangaike kuaga, kasome takwimu zilizotolewa na Forbes kuhusu watu salama kuwa karibu yao na waungwana mimi ndo naongoza.Ungependa tuongozane?
Subiri niage maana sijui kama nitarudi salama.
Ungependa tuongozane?
Subiri niage maana sijui kama nitarudi salama.
Hii dunia ni kubwa sana lakini inafanywa kuwa ndogo sana na kitu kinachoitwa utandawazi.Ukowap umemjuaje
Aya komaa komaa bossHii dunia ni kubwa sana lakini inafanywa kuwa ndogo sana na kitu kinachoitwa utandawazi.
Tuendelee na lindo mkuu, mimi huyo mtu sio kumjua pekee, kiufupi simfahamu kabisa.
Shilingi mkuu. Dola 45...Vipi kidogo sana au nimekuzidishia?![]()
![]()
![]()
Acha masihara Mzee Laki moja shilingi au dola?



Mkuu. Nothing serious lakini unafikiri ni sawa kumwanika huyo binti na namba yake kabisa? Hujafanya vizuri kamanda kama unayosema ni ya kweli. Alikupa raha kwa upendo na inavyoonekana kwa sasa ana mtu mwingine ndiyo maana anakuona kama unataka tu kumtibulia. Yote kwa yote hukuwa na haki ya kuweka meseji zake hapa na namba zake. Tukumbuke tu dunia ni hii hii na maisha ni haya haya. Unayemdhalilisha leo kumbe ndiye atakayekusaidia kesho na kesho kutwa. Ningekuwa wewe ningezifuta hizo screenshots na kuwaomba wote waliozikwoti kuzifuta pia...UbinadamuMda xana almost mwaka umepita tukala raha weeee then nkasepa xaxa katikat ya August tumeonana lakn ndo hvyo anahc bado nko vile vile kwamba ntakul n kusepa ndo povu Kama hilo



Shilingi mkuu. Dola 45...Vipi kidogo sana au nimekuzidishia?![]()
Umesema vyema Mzee.Mkuu. Nothing serious lakini unafikiri ni sawa kumwanika huyo binti na namba yake kabisa? Hujafanya vizuri kamanda kama unayosema ni ya kweli. Alikupa raha kwa upendo na inavyoonekana kwa sasa ana mtu mwingine ndiyo maana anakuona kama unataka tu kumtibulia. Yote kwa yote hukuwa na haki ya kuweka meseji zake hapa na namba zake. Tukumbuke tu dunia ni hii hii na maisha ni haya haya. Unayemdhalilisha leo kumbe ndiye atakayekusaidia kesho na kesho kutwa. Ningekuwa wewe ningezifuta hizo screenshots na kuwaomba wote waliozikwoti kuzifuta pia...Ubinadamu![]()
Hahaha hata usihangaike kuaga, kasome takwimu zilizotolewa na Forbes kuhusu watu salama kuwa karibu yao na waungwana mimi ndo naongoza.
Kwani Thad katekwa? Ya Mhindi ilikuwa ni kwa ajili ya kutekwa. Usilinganishe![]()
![]()
![]()
Kwakweli sijajua ni ndogo au ni kubwa, ngoja nimwulize mjukuu wangu kama itakua angalau inalingana na ile ya yule Mhindi



Huu n usiku wa manane ubakie kuwa ucku wa manane.Umesema vyema Mzee.