Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,417
Niko ngangari sana, japo mifupa yangu ina chumvi nyingi.Kabisaa si bure. Kwema kamanda?
Mbona hii itika yako maneno yanakata kata namna hiyo?
Kuna usalama kweli?
Chukua maji baridi lita 10, jimwagie mwili mzima, na hapo utakua salama Mzee.Ayaaaaa!
Spray ishanikuta.
Wacha weeh, ila viporo sio vizuri kwa afya ya lindo ujue!Salama kabisa...sema nilikuwa namalizia kiporo huku.
Another one nganchoka mieAhsante kwa kunipatia namba ya Agness mawowowo, ubarikiwe sana mkuu.
Huo "wito" kwa fedha za Kitanzania itakua shilingi ngapi, nikuletee Thad sasa hivi?Natoa wito. Thad atafutwe kwa udi na uvumba...View attachment 909948
Wacha weeh, ila viporo sio vizuri kwa afya ya lindo ujue!
Naomba uombe ruhusa kwa Mr Miller, kuna sehemu nataka unisindikize.
Aisee, huyo aggie si unamfahamu?Another one nganchoka mieView attachment 909949
Yeah tulishadate kabsaAisee, huyo aggie si unamfahamu?
Huyu hajanichora bali amenipiga picha akakutumia
ni
Teh teh..kwanini umefikiria Kiporo(chakula)?
Ruksa tena? Halafu Mr Miller amelala siwezi kumwamsha...
Hay twende tangulia....nakufuata nyuma