Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Karibu
Aiseee
Aiseee
Hizo hatua 2 za mwanzo zinadhihirisha kuwa unaniombea kifo usiku na mchana japo tunacheka woteHatua ya 1- Mkamate mamba
Hatua ya 2- Unamkata ulimi
Hatua ya 3- Unawasha moto
Hatua ya 4- Unachemsha ulimi wa mamba kwa muda usiopungua wiki 2.
Kiufupi ushachelewa, waandalie tu supu ya konokono.
Ndio nini nimebakia nao kichwani na ndio nausikia kwa mara ya kwanza....Karibu tuwemo
Kwa hizi tambo nafikiri Umoja wa Mataifa unatakiwa uwe makini, ili kulinda raia wasidhurike na hiyo vita.basi majimaji war itarejea, ila mwenye silaha ya moto lazima tu atashinda maana IBM hata THAD haioni ndani
Niliusikia kwa mara ya kwanza nikiwa kwenye huzuni ya kufa mtu ukaniingia kiasi kwamba hautaki kutoka damuniNdio nini nimebakia nao kichwani na ndio nausikia kwa mara ya kwanza....
Kweli ni Sad Song.
Hizo hatua 2 za mwanzo zinadhihirisha kuwa unaniombea kifo usiku na mchana japo tunacheka wote
Kuna watu wana bahati dah !!!Ila tuache masihara Dionize N wewe ni 'mhendisam'
Hutazeeka mapema. Endelea hivyo hivyo !!!Mimi najenga Taifa....usiku ni kulala tu kama siko Lindoni.
Sijaanza kutumika usiku bad![]()
Kwa hizi tambo nafikiri Umoja wa Mataifa unatakiwa uwe makini, ili kulinda raia wasidhurike na hiyo vita.
Waswahili wanasema "Mafahali wawili wakigombana nyasi ndo zinaumia"
Unatakiwa uutoe huko uliko u save...Niliusikia kwa mara ya kwanza nikiwa kwenye huzuni ya kufa mtu ukaniingia kiasi kwamba hautaki kutoka damuni
Mtandaoni humu mkuu akili za kuambiwa changanya na zako...AlwaysWadada wekeni dp tuwatongoze maana unaeza umvagaa ukatongoza mkaka mwenziohakuna hata vivuli vya kike na vya kiume



Kuna watu wana bahati dah !!!
Oooh mnyantuzu wewe kumbe dsm ishakuharibu, sasa ndo chakula gani hicho? Kweli ngosha mzima unaweza kula hivyo?Utahimili nguvu toka kitu hikiView attachment 902861
Asante...Hutazeeka mapema. Endelea hivyo hivyo !!!
Mdanganye. Wanyantuzu wawili hawawezi. Atachemsha !!!Utahimili nguvu toka kitu hikiView attachment 902861
Kuna watu wana bahati dah !!!
Ndo uweke na wewe picha yako tukuthamanishe ili ubahatikeKuna watu wana bahati dah !!!


