JamiiForums Usiku wa manane
Utahimili nguvu toka kitu hiki
IMG_20181018_144202.jpeg
 
We acha tu Mzee, hapa hata Umoja wa mataifa hawana haja ya kuingilia maana hata ingekuaje USA hawezi mpiga North Korea naana inajulikana kabisa North Korea yote itageuka majivu
Kwa hizi tambo nafikiri Umoja wa Mataifa unatakiwa uwe makini, ili kulinda raia wasidhurike na hiyo vita.

Waswahili wanasema "Mafahali wawili wakigombana nyasi ndo zinaumia"
 
Back
Top Bottom