Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,414
Nizaga namhala. Nalihagaduka henaha nagung'waka gahawa. Mhola ukwene?Oshika nkoyi
Nizaga namhala. Nalihagaduka henaha nagung'waka gahawa. Mhola ukwene?Oshika nkoyi
Hahaha ila usimdharau Kim huenda ana silaha za siri za maangamizi.We acha tu Mzee, hapa hata Umoja wa mataifa hawana haja ya kuingilia maana hata ingekuaje USA hawezi mpiga North Korea naana inajulikana kabisa North Korea yote itageuka majivu
Nishamwambia, hatupo tayari kwenda Jail ndugu na jamaa wanatutegemeaMdanganye. Wanyantuzu wawili hawawezi. Atachemsha !!!
Kwa hizi tambo nafikiri Umoja wa Mataifa unatakiwa uwe makini, ili kulinda raia wasidhurike na hiyo vita.
Waswahili wanasema "Mafahali wawili wakigombana nyasi ndo zinaumia"
Jamani hii mada ya vita baridi imeingiaje hapa?We acha tu Mzee, hapa hata Umoja wa mataifa hawana haja ya kuingilia maana hata ingekuaje USA hawezi mpiga North Korea naana inajulikana kabisa North Korea yote itageuka majivu
Nizaga namhala. Nalihagaduka henaha nagung'waka gahawa. Mhola ukwene?
Mimi naamini thamani ya mwanaume imo mfukoni hasa katika mazingira ya sasa...Ndo uweke na wewe picha yako tukuthamanishe ili ubahatike![]()



Ukunu dulimhola. Nalumbagwa. Nadakaga gushoka kaya nkoyiMhola kukee, ja gukaya kwene ginehe
Hapana, huwa unaniweka sawa hauniumizi bali unaniburudishaUnatakiwa uutoe huko uliko u save...
Usiwe unausikia...unakurudishia maumivu
Kama alizokuwa nazo Saddam?Hahaha ila usimdharau Kim huenda ana silaha za siri za maangamizi.



Lala unonoNaaga...lindo jema
Lala salama. Ikibidi uniote !!!Naaga...lindo jema
Nimekuliza. Whai?
Wanaume wenye ugly face ndio ugonjwa wangu, nigekuwa bado nina moyo ningekusaka popote ulipoMimi naamini thamani ya mwanaume imo mfukoni hasa katika mazingira ya sasa...
Ila niseme tu ukweli. Mimi ni ugly![]()
Kama alizokuwa nazo Saddam?
Ila kaTariq Azziz kalikuwa kananikosha sana kwa mikwara![]()