eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Eti ile ya pale tazara ni flyover au ni Daraja la magariNaam maneno hayakosekani kiongozi
Eti ile ya pale tazara ni flyover au ni Daraja la magariNaam maneno hayakosekani kiongozi
Hahaa utanipasua mbavu bure. Natamani nijifunze tamaduni zao niwe nacheka tuuSana.alikuja muungwana mmoja anaitwa (kolodani)nimefupisha sasa mwanamme mwenzio umuite Mapmb Aaahh haifai,
Una Linda au una winda?Tukiwa tunaendelea kuwindana huku tukisubiri muda wa kulinda ufupi,nina ka swali ka kizushi humu ndani,japokuwa kamesha funguliwa nyuzi kadhaa humu.
"HIVI KUNA URAFIKI KWELI KATI BOY NA GIRL"
Naendelea kuwindaaaaaaaa......
Hi Vinci!Hello bibade
Wewe unaonaje kaka mkubwa,ile ni nini ?Eti ile ya pale tazara ni flyover au ni Daraja la magari
Mkuu lile in daraja LA kuvuka pakashume Na kunguru zote za darEti ile ya pale tazara ni flyover au ni Daraja la magari
Nawinda kaka mkubwa na nimeshawaambia kitbo sana,muda wa kulinda bado au nakosea ?Una Linda au una winda?
Wenzako tushaianza siku mpya wewe bado unahangaika na siku ya janaKivipi
Tukiwa tunaendelea kuwindana huku tukisubiri muda wa kulinda ufupi,nina ka swali ka kizushi humu ndani,japokuwa kamesha funguliwa nyuzi kadhaa humu.
"HIVI KUNA URAFIKI KWELI KATI BOY NA GIRL"
Naendelea kuwindaaaaaaaa......
Somo wan'julia miee,.karanga ndio tamu yetu watoto wa pwani ya kaskazini sie,nigee mie nijidai,Ngoja nikupe somo wa mie, vipi nikupe na karanga au hivi hivi
Kwani na wewe una winda?Nasubiria Jibu. ...nilishaulizaga sikumbuki nilijibiwa nini?
Upon?
Hi bidabe ulipoteaaHi Vinci!
Sasa mother confess unampa karanga za niniNgoja nikupe somo wa mie, vipi nikupe na karanga au hivi hivi
Kwani na wewe una winda?
Upo?Upon what?
Umepata somo! Kuna mtu alinipa salamu zako, uliziona?Somo wan'julia miee,.karanga ndio tamu yetu watoto wa pwani ya kaskazini sie,nigee mie nijidai,
Kwangu mimi hakuna urafiki kati ya boy na girl labda wote muwe na sifa za ukike kike.Nasubiria Jibu. ...nilishaulizaga sikumbuki nilijibiwa nini?
Niaje bro,,,mitikasi vp pande hzoMkuu lile in daraja LA kuvuka pakashume Na kunguru zote za dar