JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kwangu mimi hakuna urafiki kati ya boy na girl labda wote muwe na sifa za ukike kike.

Ila mimi siwezi kuwa na urafiki na mtoto wa kike,nikiona mtoto wa kike ananiletea habari za urafiki huwa nakata mawasiliano,hawachelewi kukuhadhia anavyotongozwa na mengine kadhalika.
Oohhh basi nawashukuru sana marafiki zangu wa Kiume....wananivumilia kwa mengi. ...
 
Mi niko arusha Huku nasikia wana Dar wanajisifia flyover sasa nilivyoona picha ikabidi nishangae mbona kama ya kuvukia upande mwingine
Hivi flyover huwa zinakuwa namna hii kweli
Inaonekana bro una elimu kubwa sana kuhusu flyover embu tupe faida..............

Yaani wewe ukiambiwa flyover kichwani mwako kuna taswira gani ?
 
Back
Top Bottom