dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Sio mapinduzi mr ni jamaa yake Wa kitambo nilisikiaga mahawala hawaachani ndio nimejua ule msemo una ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mapinduzi mr ni jamaa yake Wa kitambo nilisikiaga mahawala hawaachani ndio nimejua ule msemo una ukweli
moyoni mwakoWapi huko unataka kujikaribisha?
Inabidi uwe mpole.Sio mapinduzi mr ni jamaa yake Wa kitambo nilisikiaga mahawala hawaachani ndio nimejua ule msemo una ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu moyo wangu ushafungwa na funguo anayo mwenyewe....labda ujaribu kuvunja kofulimoyoni mwako
Mungu akubariki na kukulindaNamimi nalala....
Usiku mwema KingY
Maandiko yanasema "kwa kukirimu wageni, mnapokea na malaika"Wapi huko unataka kujikaribisha?
Kufuli linatekenywa mpaka linaachia lenyeweHuu moyo wangu ushafungwa na funguo anayo mwenyewe....labda ujaribu kuvunja kofuli
asee nitavunja tu .. kwakua umeniruhusuHuu moyo wangu ushafungwa na funguo anayo mwenyewe....labda ujaribu kuvunja kofuli
Amen