Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,272
Nashukuru sana, karibu....marahaba kipenzi, nimejiunga jf kwa ajili yako, acha nianze kufunguka![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
ATM ni wimbo wa J Cole,, wimbo huo unapatikana kwenye album yake mpya iliyotoka mwaka huu inaitwa KOD(Kids Over Drugs, Kill Our Demon)Sijaelewa kiongozi...
nimetokea kukupenda vipi nakaribishwa?Acha ubishi...yafumbe tu
Kwaiyo umemruhusu akasinzie sioe, na mimi nahisi kusinzia sinzia nishtue basi kama unavyomshtuaga "munchie wako"Asante Munchie....sweet dreams
(natania, ukimaliza kusoma futa asije akaona)
nitashukuru zaidi kwa ushirikiano wakoNashukuru sana, karibu....
Oooopppss yani nilikua nimesahau kabisa mkuu. Nilijua umemaanisha kitu kingine..ATM ni wimbo wa J Cole,, wimbo huo unapatikana kwenye album yake mpya iliyotoka mwaka huu inaitwa KOD(Kids Over Drugs, Kill Our Demon)
Kwenye KOD kuna ngoma nyingi na nzuri kama ATM, Photographs, Kevin's Heart, 1985
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi huko unataka kujikaribisha?nimetokea kukupenda vipi nakaribishwa?
Hahahah!! Ameshatagiwa mzungu maxence noma sana habari amesha pata huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja brother!!Oooopppss yani nilikua nimesahau kabisa mkuu. Nilijua umemaanisha kitu kingine..
Ahsante kiongozi
Hahahhaa....penda sana watu kama wewe....nimetabasamu ....asanteKwaiyo umemruhusu akasinzie sioe, na mimi nahisi kusinzia sinzia nishtue basi kama unavyomshtuaga "munchie wako"![]()
(natania, ukimaliza kusoma futa asije akaona)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa