JamiiForums Usiku wa manane
Nani anamfahamu huyu???
Ni maarafu kwa tamthilia inaitwa Beatiful daughter ilikua inarushwa TBC1 wanaiita Mao Dou dou na wakwe zake. anatumia jina la Yu wei mume wa dodo..
Huang Haibo
 
Nafurahi kuskia hvyo kumbe hujawahi nunua safi sana...Asante kwa kuniheshimu na kujali
Sijawahi ktk maisha yangu.Kwanza naweza Lia sn nikifanya hivo,naumia sn napowaona wadada wapo maeneo hayo nikitoka na washkaji sometimes.

Nitajitahid nitongoze sn wiki hii japo nipone hii maradhi uuuwiiiiiii.BUT LOVE YOU WHEREVER YOU ARE.
 
Nani kaicheki hii muvi? Bajeti yake ni $200+ lakini faida yake zaidi ya $2.2+ billion
Avatar, marketed as James Cameron's Avatar, is a 2009 American epic science fiction film directed, written, produced, and co-edited by James Cameron.

Avatar
You are so back, movie ya miaka 10 nyuma?
 
Back
Top Bottom