tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,201
- 29,764
Yani hali niliyonayo Kwa wiki 1 ninahitaji emergency ya haraka sn.Sasa sijui nifanyeje?Ha ha ha tulia basi umpate mzuri sio wale wa kuokota ukapata kisonono
Yani hali niliyonayo Kwa wiki 1 ninahitaji emergency ya haraka sn.Sasa sijui nifanyeje?Ha ha ha tulia basi umpate mzuri sio wale wa kuokota ukapata kisonono
Nmetulia mama vle umenikumbatiaWeee tulia babu
Nilicheck kitambo sana
Eewaaaa ngoja nije kukubebea njian![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nakuja kwa maringo kama hvyo![]()



Fanya mazoezi utasahauYani hali niliyonayo Kwa wiki 1 ninahitaji emergency ya haraka sn.Sasa sijui nifanyeje?
Hiyo ni siri ya kambi. Ila kama utanishawishi nitakwambia![]()
![]()
nmeacha
UsingiziniThad umepotelea wapi?
Niambie basiHiyo ni siri ya kambi. Ila kama utanishawishi nitakwambia
Nitaweza kwl?dawa ni dawa tu hiyoFanya mazoezi utasahau
Kwaiyo unaenda kununua? Me nko nje ya Tz rafiki ningekusaidiaNitaweza kwl?dawa ni dawa tu hiyo

Tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Tukutane pmNiambie basi
Ok ok!!Tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Tukutane pm
Itabid ninunue kufuli niweke pard lockKwaiyo unaenda kununua? Me nko nje ya Tz rafiki ningekusaidia![]()
Asante sn Kwa kujali,Kwa sentence hii tu ninakupenda mpaka ndani ya mtima huko.Pia nakujali na kukuheshimu.Kununua ndo siwezi kabisaaaaaaaa,na sijawahiKwaiyo unaenda kununua? Me nko nje ya Tz rafiki ningekusaidia![]()