Astelia
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 1,049
- 3,547
... Alishaenda wapi asije akaja akanitoa masikioHamna pengo hilo waweza kuliziba basi tu hutaki
... Alishaenda wapi asije akaja akanitoa masikioHamna pengo hilo waweza kuliziba basi tu hutaki
Ooh ahsante mkuuHapana ni stone town Zanzibar.
Karibu Mkuu. Wew pande za wapi?Ooh ahsante mkuu
The ol dai nacheki series stil i can't get a nap sijui ni meditatePole mkuu kma una bando ya kutosha ingia youtube utafte movie inatwa rings inaweza kukusaidia kupata usingizi.
Jiji la makondaKaribu Mkuu. Wew pande za wapi?
Asante mkuu any suggestionsPole
Hapana aliikimbia jf. Harudi tena... Alishaenda wapi asije akaja akanitoa masikio
Ooh sawasawa mkuu.Jiji la makonda
Pole mkuu inahappen siku moja moja.The ol dai nacheki series stil i can't get a nap sijui ni meditate
Nakuona mkuuHapana aliikimbia jf. Harudi tena
Hata Mimi nasubiria ibadilike hukuSiku si inaanza saa sita, kalenda ishabadirika
Nimejikuta nakua emotional sana nikisikza sweet melodies nikiwa lonelyUnapataje usingizi ikiwa wasikiza singeli
Hapana aliikimbia jf. Harudi tena
haya bwanaWakuu usiku huu na chaiHata Mimi nasubiria ibadilike huku
Fumba macho.Nakuona mkuu
Hamna sio chaiWakuu usiku huu na chai
Wtf yaani nimekua mvivu wa kujisomea nowdays hadi riwaya sisomi yanii. (The banker kachangia niache kusoma riwaya jf)haya bwana
Ngoja nikimbilie kwenye riwaya nivute muda usiku wa manane umeshafika