Herymiller
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 613
- 861
Mhhhh basi itakua gahawa ya kiutu uzimaHamna sio chai
Mhhhh basi itakua gahawa ya kiutu uzimaHamna sio chai
HayafumbikiFumba macho.
Hainifai...bado mdogo mimiMhhhh basi itakua gahawa ya kiutu uzima
Mimi mwenzio hata nijaribu vipi kuachaWtf yaani nimekua mvivu wa kujisomea nowdays hadi riwaya sisomi yanii. (The banker kachangia niache kusoma riwaya jf)
Hafu nina vitabu ving kwa foni ila uvivu tu sijasoma hata kimoja
Mkuu watoto wameshalala kitamboo wanajiandaa na ibada ya kwanza keshoHainifai...bado mdogo mimi
Kwa ajili yako nitasoma. Si utakua unanisomea..😍😍Mimi mwenzio hata nijaribu vipi kuacha
Bado sikomi.. Jitahidi bwana usome
Acha nikubali Ukuu basi....Mkuu watoto wameshalala kitamboo wanajiandaa na ibada ya kwanza kesho
Ww utakua ujiamini tu kama usha kua mkubwa
Umenikumbusha Kipande flani cha Tom na Jerry kinaitwa Sleeping Tom. Alikua anajitahidi kufumbua macho hadi anaziwia na Tooth pick ila wapi usingizi umemkabaHayafumbiki
Haya sweet 16 naamini utakua bado mbichi (mteke teke)Acha nikubali Ukuu basi....
IshabadilikaHata Mimi nasubiria ibadilike huku
Ndio imebadilika dk 12 zilizopita...acha nikalale sasaIshabadilika
Haya nitakusomea usijaliKwa ajili yako nitasoma. Si utakua unanisomea..![]()
haya kwa kuanza twende nikakusomee dunia haina usawa ya bibie Shunie imeisha haina arosto wala niniHatimaye leo nimepata tabasamu la jf expert member ni nadra sana
Namm naendaNdio imebadilika dk 12 zilizopita...acha nikalale sasa
Umenikumbusha Kipande flani cha Tom na Jerry kinaitwa Sleeping Tom. Alikua anajitahidi kufumbua macho hadi anaziwia na Tooth pick ila wapi usingizi umemkaba
hayo yalinikuta asubuhi ingawa sikutumia tooth pick