JamiiForums Usiku wa manane
Wtf yaani nimekua mvivu wa kujisomea nowdays hadi riwaya sisomi yanii. (The banker kachangia niache kusoma riwaya jf)
Hafu nina vitabu ving kwa foni ila uvivu tu sijasoma hata kimoja
Mimi mwenzio hata nijaribu vipi kuacha

Bado sikomi.. Jitahidi bwana usome
 
Back
Top Bottom