D
Deleted member 485868
Guest
01:14
Bado kiduchu wa manane ufikeBado ni usiku wa masaba
Bado 45 mins..Bado kiduchu wa manane ufike
Nina mpango wa kulala usiku matisaBado 45 mins..
Lala ukuee
Wee jamaa ww hii ndio ilikua tabia yangu na dogo. Pengine nacheki Movie zone dingi akitoka najifanya nimesinzia anazima tv. Mida hii mgm wanaonyesha muvi za kudinyana sana.Nakumbuka kitambo mida kma hii navizia wazee wamelala unanikuta ukumbini nimewasha tv na sauti nime mute niko na channel ya MGM nikiangalia mambo yetu. Nan anakumbuka hio channel?
Id yako ya zamani waitwa naniNina mpango wa kulala usiku matisa
Nna waswasi y r my brother from another motherWee jamaa ww hii ndio ilikua tabia yangu na dogo. Pengine nacheki Movie zone dingi akitoka najifanya nimesinzia anazima tv. Mida hii mgm wanaonyesha muvi za kudinyana sana.
Are sure sio dogo langu wewe

Id hii ndo ya kwanza na ya mwishoId yako ya zamani waitwa nani
Hahaaaa Mgm kitambo sijaicheki..Nna waswasi y r my brother from another mother![]()
![]()
![]()
Kamwandiko kako sio kageniId hii ndo ya kwanza na ya mwisho
Hehehee kitambo sana hio channel ilikua iko juu sana.Hahaaaa Mgm kitambo sijaicheki..
Wanaonyesha muvi za 70,80,90
Metro Goldwyn mayer.Hehehee kitambo sana hio channel ilikua iko juu sana.
Bro zaman tulikua na vijitabia vya ajabu ajabu sanaHahaaaa Mgm kitambo sijaicheki..
Wanaonyesha muvi za 70,80,90

Kanafanana na Id ipi?Kamwandiko kako sio kageni
Id ya my love wangu hiv mmojaKanafanana na Id ipi?
Tulikua tukitumia satellite dish ila decoder sikujua gani.Metro Goldwyn mayer.
Ulikua unaipatia decoder ipii
Yupi huyoId ya my love wangu hiv mmoja
PapriKanafanana na Id ipi?