Sawa my love nachelewa kwa sababu ya mihangaiko tuu.Okey kipenzi, ujitahidi kuwa unarudi home kwa wakati maana unachelewa mno nachoka kukusubiria
Ahsante kwa sapotItapendeza zaidi
00:52 A.MNikiuonaga Uzi huu umepanda najua bongo ni usiku.
Ni saa ngapi huko Kwa watekaji?
Sku hizi ana wahi kulala sjui kachoka nnmumu wangu leo kachokaa eeh!
hahahaNikiuonaga Uzi huu umepanda najua bongo ni usiku.
Ni saa ngapi huko Kwa watekaji?
Usijali mkuuAhsante kwa sapot
Basi kama mtakuepo watu watatu mnao zisoma mnatosha
mambo mengiSku hizi ana wahi kulala sjui kachoka nn
Kwetu tukisema mahaba twamaanisha marhabaah, tukisema maakhabati ndio mahaba ya kwenu ninyi.mimi sijambo kabisa, nafurahi umenifanya nicheke kwa kiwango cha juu muda huu...
kwahiyo uko ni mahaba tu hadi kwa watoto mwaitikia hivyo.....
na ww ni mtu wa Tanga Ney?



Yeah! Ume mpa kazi gani huko?mambo mengi
Asanteh mpenzi wangu, na ufanikiwe tuu usinijie mikono nyuma utadhani mwalimu akitafakari adhabu ya mwanafunzi.Sawa my love nachelewa kwa sababu ya mihangaiko tuu.
Ila nakupenda na weekend ntakuwa nawahi kurudi
ndio maana ukawa mwalimu wangu, ss hayo yote mm ningeyajulia wapi...Kwetu tukisema mahaba twamaanisha marhabaah, tukisema maakhabati ndio mahaba ya kwenu ninyi.
Sisi twatangaza upendo tuu kwa rika zote mwanafunzi wangu mathalani hatuvunji sheria basi sisi burudani
Mimi sio wa Tanga natokea mbali kwelikweli.
kazi ndogo ndogo tuYeah! Ume mpa kazi gani huko?
hahahaAsanteh mpenzi wangu, na ufanikiwe tuu usinijie mikono nyuma utadhani mwalimu akitafakari adhabu ya mwanafunzi.
Acha tuu mwanafunzi wangu nitakuelezea ukija kwa classndio maana ukawa mwalimu wangu, ss hayo yote mm ningeyajulia wapi...
mbali kweli kweli ndio wapi huko?

HahahaaaaAsanteh mpenzi wangu, na ufanikiwe tuu usinijie mikono nyuma utadhani mwalimu akitafakari adhabu ya mwanafunzi.