Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,614
- 67,081
Hahahahahakama ulikuwepo akilini mwangu..
Kuna mmoja hapa
Mi najuaaa haya mambo. Ninge kupa hata mbinu ungemchota hata saa hiz
Sema utajiona concord sanaa kwa hiyo nakupa ushauri huu huu tu.
Hahahahahakama ulikuwepo akilini mwangu..
Kuna mmoja hapa
ThanksKwa kweli sina neno kakaaa
I wish her well, i wish you also well.
Basi na tuseme amenThanks
AmenBasi na tuseme amen
Braza hivi pale ndio umefika fainali auAmen
hilo nalo ni la kuniulizaa...mm pale ni fainali brazaBraza hivi pale ndio umefika fainali au
Nusu fainali?
Sawa braza nikajua bado uko hatua ya makundihilo nalo ni la kuniulizaa...mm pale ni fainali braza
uko nilivuka japo kwa ugumu ugumuSawa braza nikajua bado uko hatua ya makundi
Hahahahauko nilivuka japo kwa ugumu ugumu
Hongera aseeHahahaha
Braza wewe mashindano yako yalienda haraka sana.
Mimi mwenzio kwa Ney hata sku ebdehs mashindano alikuja na kunyanua kombe moja kwa moja.
changamoto bado zipo lkn au hamna kabisa?Hahahaha
Braza wewe mashindano yako yalienda haraka sana.
Mimi mwenzio kwa Ney hata sku ebdehs mashindano alikuja na kunyanua kombe moja kwa moja.
Hebu fafanua kauli hapochangamoto bado zipo lkn au hamna kabisa?
ww na Ney hamna milima na mabonde au ni straight tu mna furahiaHebu fafanua kauli hapo
I stretch
Ungemuoa? Tafadhali mkuuHahahahaha
Mi najuaaa haya mambo. Ninge kuoa hata mbinu ungemchota hata saa hiz
Sema utajiona concord sanaa kwa hiyo nakupa ushauri huu huu tu.
Hahahaww na Ney hamna milima na mabonde au ni straight tu mna furahia
stardust JK nakutaka radhi nili koseaUngemuoa? Tafadhali mkuu
Teh
HahahahaNilielewa shem nimekuchokoza tu
Teh
izo izo tu kama zako brazaHahaha
Changamoto zipo, mfano when i met Ney i was just a free bird too.
So kwa Ney anapata shda kujua wapi natania, wapi niko siriaz, hasa when it comes to other ladies. She knows i love her but she knows pia we still have alot to learn about each other. And learning sometimes may be painfull for both of us.
Kwa hiyo pia imebid na mimi nijitambue napunguza jokes kabsaa ili asipatwe na wasi wasi.
Ila yeye Ney si tatzo sana kwangu she is a classy lady.
Wewe je unaface changamoto gani?