Uje saa 6:00 ndio muda wa kufunga getileo gate nafunga mimi,
Eeeehsawa....lete tu,
Itapendeza zaidiPoppoooooz
Mnaonaje nikianza kuleta storiez fupi humu kuchamngsha jukwaa!?
Okey kipenzi, ujitahidi kuwa unarudi home kwa wakati maana unachelewa mno nachoka kukusubiriaNipo mpenzi
Hapana nime jaa tele
Hata jana nlikuepo
hahahahahaMahaba ya mumu na mzigua, hujambo wewe?






ahaa! sawa mkuu.Uje saa 6:00 ndio muda wa kufunga geti

wewe unataka funguo au unata KE, spare wanaweza kuwa nazo waulize....ile kuwa makini kuna wake za watu humuMkuu kwan gate wanafunga ME tu hakuna KE ana spare key?
Nishatoa muongozo tayari mkuuMwifa anakuaga nazo ila leo geti limefunguliwa na joseverest kwahiyo fanya kumuona...
Asante mkuuKaribu tena
SawaEeeeh
Sawa ngoja tuone na waungwana wengine wata semaje
hahaha pole chief, uwe na usiku mwemaGood night popoz leo pumzi imekata njiani....
nawakubali wote![]()
![]()
![]()
![]()
SafiNishatoa muongozo tayari mkuu
Poa mkuu.Good night popoz leo pumzi imekata njiani....
nawakubali wote![]()
![]()
![]()
![]()
Kwetu chekecheke mombasa kuweka r ni matusi,hahahahaha
mwalimu iyo itikia yako mbona hivyo lkn...
hahaha hahaha aiseee

mimi sijambo kabisa, nafurahi umenifanya nicheke kwa kiwango cha juu muda huu...Kwetu chekecheke mombasa kuweka r ni matusi,
Twaitika mahaba tuu
Kazi kwako kutafsiri, asiyejua maana haambiwi maana.
Vipi wajionaje hali?
ow! usijal me raia mwema mkuu .. ni vile tu nlitaka kuona kama G.E inazingatiwa. Nashukuru kwa taarifa hata ivyo Chief.wewe unataka funguo au unata KE, spare wanaweza kuwa nazo waulize....ile kuwa makini kuna wake za watu humu
Karibuow! usijal me raia mwema mkuu .. ni vile tu nlitaka kuona kama G.E imezingatiwa. Nashukuru kwa taarifa hata ivyo Chief.