JamiiForums Usiku wa manane
Npie ushaur mkuu niweke heshima au nipotezee..
Ila nahisi kuna kamchezo kwanini wanizingue wote..
Hawanipati kwa kweli
Potezeaa
Hata kama wana kutaka si kwa mfululizo huo wametumwa hao. Kwa sasa jifanye huwaelewi.

Ila kama una mtaka mmoja wapo kweli Kaa muda mrefuuuuu, halaf urudi kumtagert yule unaye mkubali zaidi.
 
Back
Top Bottom