whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,570
- 4,450
Nafungua geti rasmi
Funga geti kubwa , hilo dogo usifunge mimi bado niko nje




Nafungua geti rasmi




KaribuFunga geti kubwa , hilo dogo usifunge mimi bado niko nje![]()
AminTuanze na dua jamani,tuwaombee wenzetu ambao wikiendi hii imewaendea kombo..kesho kazini nawatakia kazi njema popooooooZ. wote
Duh yan hata haujui zilipendwa wako alikuwa anapenda kinywaji ganiSikuelewi umekunywa nn leo
Tuanze na dua jamani,tuwaombee wenzetu ambao wikiendi hii imewaendea kombo..kesho kazini nawatakia kazi njema popooooooZ. wote

Hivi ni kweli katuacha kabisa au mbwembwe tuu?Nina imani bado sijachelewa. Maamuzi yanaweza kubadilika muda wote ule na siwezi kukulazimisha siku ukiwa tayari utanikuta huku nakusubiri![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila tutammis sana jamaniHahaha
Amechafukwa na roho
Ila at least katuaga tuu si mbaya
Kulikoni mbona moyo umevunjika?Kwema humu.![]()
Asanteh sana rafikiThad
Inna
Ney
Jje's
Mumu
Iceman
Mwifa
Dingi
Ipogolo
Meserati
Bila kusahau wadau wote karibuni
Vumilia mkuu.So nikichepuka hukumu hapo inadondokea kwangu au kwa mke wangu kiimani... Hebu tuliweke hili sawa... Maana mnyama ananguluma halafu mtu anavuta shuka
Demiss hebu mpapase Mshana Jr kama yupo hapo au umelala na mgomba. Kuna mtu kamuona anaingia mortuary ya Amana kinyume nyume
![]()


kweli wala hajakosea yupo kazinDada nnaonaga post ukinena kwa luga za kigeni ujue ....Ndio mm la saba na kingereza wapi na wapi
Duh yan hata haujui zilipendwa wako alikuwa anapenda kinywaji gani



x wangu leo umelewa k vantWapi ndugu yangu mm ung'eng'e adui yanguuDada nnaonaga post ukinena kwa luga za kigeni ujue ....
Labda useme Jr anakusaidiaga ila nnaonaga ukivunja mayai kila sikuWapi ndugu yangu mm ung'eng'e adui yanguu
I am not bored, am i welcomed?Whoever is bored laribu
Ndo nimeanza somo kwa mme saiv la kingerezaLabda useme Jr anakusaidiaga ila nnaonaga ukivunja mayai kila siku