JamiiForums Usiku wa manane
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.

Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"
Kesho baada ya lindo nataka nikuanzishie uzi matata hadi tuiteke Couple ya mshana na Demiss
 
Kesho baada ya lindo nataka nikuanzishie uzi matata hadi tuiteke Couple ya mshana na Demiss
Couple yetu inaingiaje hapo wewe loooh

Kila sku nakuambia mchukue tu thad nashangaa unajizungusha zungusha why?
 
Huu uzi umepoaa sana
IMG-20180325-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom