Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Anakwenda wapi thad?Na msindikiza thad wadau kila la kheri tutaonana kesho. Muwe na jumapili njema
Anakwenda wapi thad?Na msindikiza thad wadau kila la kheri tutaonana kesho. Muwe na jumapili njema
Mzima?Kuna mtu nimemmiss humu lol
Amechukua likizo hukuAnakwenda wapi thad?
Mmmh okAmechukua likizo huku
Mi nipo ok sweet heart, sijui kwa upande wako...Mzima?
Dah! Thad umefikia hatua hii,tutaishije humu?Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.
Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"






KwemaaaaaaaaKwema humu.![]()












Nitakabwa tuKwemaaaaaaaaView attachment 725307




Zilipendwa ni fariji japo kidogoKwemaaaaaaaaView attachment 725307
Acha wenye hela wanunue... We kaa pembeniConfession:
Muda si mrefu nilitaka uziwa papuchi Kwa 50000.
Anaitwa Natasha,NIMEKATAA Acha libido ikaniue.
Huku Cambodia bwana!Bora bongo
Ngoja tumalizie weekend vizuri... Tunarudi baada ya muda kidogoPopo amkeni hali tete huku