JamiiForums Usiku wa manane
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.

Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"
 
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.

Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"
Hey mbona sioni sababu ya msingi ya wewe kuondoka. Karibu katika ulimwengu wa mibebishano
Thad nakupenda mama usiondoke ukaniacha mwenyewe.
 
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.

Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"
daah!
I am very sorry for that,
We will all miss you.

We had a good time by the way. You are such an amazing girl.
 
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.

Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"


Shost umechafukwa
 
Back
Top Bottom