Itabidi nibatizwe tena.Nawe inabidi uongeze iwe Icebradha
Usiku mwema Mkuu danpol
Hey mbona sioni sababu ya msingi ya wewe kuondoka. Karibu katika ulimwengu wa mibebishanoJamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.
Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"

daah!Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.
Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"
Kwangu mimi ni sababu tena kubwaHey mbona sioni sababu ya msingi ya wewe kuondoka. Karibu katika ulimwengu wa mibebishano![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Thad nakupenda mama usiondoke ukaniacha mwenyewe.

Nina imani bado sijachelewa. Maamuzi yanaweza kubadilika muda wote ule na siwezi kukulazimisha siku ukiwa tayari utanikuta huku nakusubiriKwangu mimi ni sababu tena kubwa![]()
Nashukuru kwa mibebishano yako ila umechelewa nimeshaamua![]()

May be pia watu wengi hawaji sku hzi kwa kuwa ilikuwa hvo.Kwangu mimi ni sababu tena kubwa![]()
Nashukuru kwa mibebishano yako ila umechelewa nimeshaamua![]()
Jamani nimekuja kuwaaga rasmi humu. Sitakuja tena naondoka zangu. Kama kuna niliyemkosea kwa namna yoyote ile naomba anisamehe binafsi sina neno na yeyote kati yenu. Mmekuwa zaidi ya marafiki.
Mwauliza sababu ya kuondoka kwangu? Jibu ni moja tu:
"Nimechoka kuwaita shemeji huku nikishuhudia mashost zangu wanavyobebishwa"









Hahaha
Shost umechafukwa![]()
Poa braza she was a great member here mfikishe salama.Na msindikiza thad wadau kila la kheri tutaonana kesho. Muwe na jumapili njema