Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Sijaona mimi...Hakuna cha kujua unapendwaaa kila mtu anataman awe wifiii wa Demiss
Sijaona mimi...Hakuna cha kujua unapendwaaa kila mtu anataman awe wifiii wa Demiss
Huyo naye kumbe hana lolote....anaondokaje hajakuzimisha ili usiamke




ananiamini jaman mke wakeeeehapana chief
kupatana nini?Wewe tena sjui nan aanzishe siledi ya kutupatanishaa

hebu niache tafadhali...ruka na ulozi wakoPoa mkuu njozi njemaLaleni salama wote wadau...mi naenda kujiegesha saa hizi
Uzi gan unataka zaid ya ule wa asubuhiMbona siuoni...
Okay chief, pumzika. Usiku mwemaLaleni salama wote wadau...mi naenda kujiegesha saa hizi
Yawezekana nyota yako ina utandooo haionekan vizurInamaana mimi tu ndio nahitaji kusafisha nyota nitoe nuksi?
Njoo nikusafishie nyotaInamaana mimi tu ndio nahitaji kusafisha nyota nitoe nuksi?

mimi simuelewi huyo ndugu yako unajua..
Uzi wa kuzimikiwa....Uzi gan unataka zaid ya ule wa asubuhi
Shem usiniache bwana, nisubiri tuondoke wote....hawa waliobaki siwaamini hataGood night babe shem...i love you!

Taratibu tu utamuelewa..mimi simuelewi huyo ndugu yako unajua..
Roho mbaya tu
Naomba unitafsirie tafadhaliYou must select very careful the kind of words you use Boss. It will serve you big times
Na wewe pia ulale salamaNimesikia kishindo kama gunia limedondoka seblen
Yawezekana mme amerud kutoka kwenye ulozi usiku mwema wapendwaaa