Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Kama vipi tuna voice noteAsanteh shemeji yangu, Yaani natamani nilie kwa sauti jamani
Kama vipi tuna voice noteAsanteh shemeji yangu, Yaani natamani nilie kwa sauti jamani
KitandaniiiiWapi huko tenaaaa?
Braza ni wapi nilimuita D baby pale? Halaf baby gani tunatajwa watu watatu eti. Ike ishu hata haikuwa siriaz
Pole ila hizi sura za kutabasam msizichukulie poa uwemakini na utani.Asanteh shemeji yangu, Yaani natamani nilie kwa sauti jamani
Naona unataka kugeuza kesi imrudie mlalamikajiAaah wapi. Na yeye aombe kwanza msamaha.
Jamani we Samaritan wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
halafu nimekuita sehemu uje
Nishamjibu tayari huyo...hajui mashairi ya wimbo wa ukisikia pah..ujue imekukosa alielenga hana shabaha alifanya makosa...najua ilikukosa WiFi angu![]()
![]()
Mungu anawaona mjuee Cc Maserati

Your honorTatizo ni kwamba hasira hazijengi Ice.
Na kingine wewe waumwa.
Mgonjwa hutakiwi kuwa na stress hata kidogo.
Punguza hasira,pona halafu muongee.
Daaah!Nakupenda pia mpenzi, nisamehe tuu

Your honor carba...zingatia hii prosecutionAaah wapi. Na yeye aombe kwanza msamaha.
Anhaaaa....sawa
Asbh ntakutafuta uniambie wifi kwa nani....Nishamjibu tayari huyo...hajui mashairi ya wimbo wa ukisikia pah..ujue imekukosa alielenga hana shabaha alifanya makosa...najua ilikukosa WiFi angu![]()

Huyu jamaa jazba zake si za nchi hiiNakupendea hapo tu baba chanja wangu
Naona unataka kugeuza kesi imrudie mlalamikaji
Braza usiseme hakuna namna, namna ipoAmeshaweka wazi msamehe uangalie kifwatacho likitoke tena huna jinsi

Haya sawa...ylale peke ako sasa,sio Leo Leo siku ya kwanza tena na naliliu Mr ...er nimuone huko namdundaKitandaniiii

Nasubiri jibu la mwisho la mlalamikaji.Your honor carba...zingatia hii prosecution
Baba chanjaPole ila hizi sura za kutabasam msizichukulie poa uwemakini na utani.
Muage ukapumzike tutalimaliza keaho hapa sijisikii kabsaa limenileta hili tu.
anaugulia