Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Hata mie,mpaka nimehamia kwa webNot zinanipita nyingine sioni ujue
Hata mie,mpaka nimehamia kwa webNot zinanipita nyingine sioni ujue
Japo data zinasema hatuna furaha ila mimi ipo tu.Tufurahi tuu hakuna namna
Kwa hiyo mii kaka mtu hujaniona kabsaaaWa afya tele, hofu juu yako
Usijali tupo pamoja wangu.Sawa mwaalimu Asante mwaalimu![]()
Mwl.naomba nirudi darasani kwako, kule nilikokuwa nimehamia wamenifukuza.![]()
![]()
![]()
Hayo ndiyo niliyokuwa nimeandika kwenye barua aliyonifanyia figisu jje's

Jana ilikuwa hatari,mpaka nikaji force kulala aise. Metoboa mpaka Saa 9Inawezekana
Ina maana hata mimi hunitaki tena?Bora kabisa ili nibaki na kazi ya lindo pekee yake
Pongezi kwa MolaInshallah,bukheri wa afya mie
Asante sanaUsijali tupo pamoja wangu.
Web kwa simu ishanishinda kabisa, labda PC tuNimei uninstall naitumia web but iko slow
Notfcation unazimudu zote kujibu?Kivipi?
Ila na huyo si mwema ha ha haaaHafai katika jamii
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.![]()
![]()
![]()
Ama kweli ule msemo wa rafiki zako wa m*v* ya kale hayanuki umetimia. We si ulituambia umepata ticha hensamu.
Anyway mwombe kwanza @ Mwifwa msamaha akikubali nakurudisha class.![]()
![]()
Yaan ni shidaah tupu, mie mwenyewe naona maruweruweNimei uninstall naitumia web but iko slow
Uje ofisini tutaongea zaidi hapa utaweza kuzibeba hizi aibu?Ina maana hata mimi hunitaki tena?