Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Hakika nimeona![]()
![]()
![]()
Nikusaidie tu
Ukweli penzi likinoga fitina zinapita hukuuu
Hakika nimeona![]()
![]()
![]()
Nikusaidie tu
Ukweli penzi likinoga fitina zinapita hukuuu
Kufanya kosa sio kosa, kosa kurudia kosa. Nisameheeni walimu wangu wapenziAsiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Hahaha kumbe ushausoma mchezo, nina uchovu usio wa kawaida sema Leo kumechangamka sana. Ngoja nipumzishe bawaba zangu sasa.Mzee baba bingwa wa kuandika naona ulivyo choka leo
Ahasante my onlyMie nakuonyesha ya shemeji ako hapo
Notifications kukosekana ndio inaifanya iwe mbaya, ila ni nzuri kiasi fulaniNitafanyaje jf version mpya ni mbaya hatariiiii. Na sitaki nipitwe huku
Utarudi tuu, au tutaonana jumatatu class
Asante, pia kwa kumjali mkeo.mmetisha wakuu kwa kudumisha huu uzi. nakumbuka kipindi wife yupo siku za matarajio ya mtoto wetu wa kwanza nilikuwa silali nkamwambia wewe lala maumivu yakizidi ntaacha jamiiforums ntakupeleka hospital aisee kumbe alikuwa uwoga cjui ndo mtoto anageuka nilikesha mwezi mzima macho. Mungu awabariki mnaodumisha uzi
Jajaona ujue aijui ananipotezea ata sielewi
Adaptation ndio habari ya mjiniYeah I wish .. Hope soon ntacop wacha niusome mchezo taratiib.
100% sureNotifications kukosekana ndio inaifanya iwe mbaya, ila ni nzuri kiasi fulani
Kwahiyo mmeungana na kuwa na moja? Nirudishieni barua yanguAisee, tatizo damu ni nzito kuliko Maji siku zote, hili jambo itabidi tulizungumze chemba kidogo mshiki. Nimekuhamu zaidi ya machozi ya simba.
Web haifai kama una harakaNimei uninstall naitumia web but iko slow
Sawa ila utafanya adhabu kidogo nitakayokupangiaMwifwa plz my bilavud ticha, naomba msamaha nirudi darasani![]()
![]()
![]()
Samehe 7*70Kabisa
Hongera, mimi tatizo linakuja na kutokaKwangu tatizo la notification halipo, na mshukuru mp wangu
Namtetea zipo safi kabisaJapo hoja zake batili...![]()