Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Kiongozi wangu mkuu karibu tena tumerudi kwa fujo na himbio sio za nchi hii
Kiongozi wangu mkuu karibu tena tumerudi kwa fujo na himbio sio za nchi hii
Then what???Sio jambo rahisi
EheheheeeeeHivi zile kuni za jana hazijalowa na mvua??![]()
Ukionja asali shuruti utengeneze na mzinga wa nyukiKuna kitu movie hapa, kilininogea nikaamua kupiga deshi usiku sasa kimeisha na minyoo imechachamaa yaani nimejikuta na popoka bila kupenda.
Ahahahaaaaaa shemejiiii, namvizia honey wanguNasikia raha uwepo wako zama zisharudi ujue ha ha haaa

Thad ni mchochezi sanaEheheheeeee
Baba ake mdogo chanja au shemeji yupi?? Maana Nina mashemeji humu hatariMwambie shemejio atuwekee na wimbo wa Asley![]()
![]()
![]()
Naona lindo limemshinda anakuja kuchungulia muda ukikaribia wa kufunga geti
Ooh kumbe,Watu wanakaribia kushiba wewe unaanza na salamu huku punje zimebaki kiduchuku![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibu mkuu
Embu simama kidogo ninajambo nataka tutete
Bwana weee...jana niliumbuka na kuni zangu, kila nikitafuta mafiga ili nichochee moto nakuta watu wamesameheana na kukumbatiana....lol, ikabidi nizitupe kuni zanguHivi zile kuni za jana hazijalowa na mvua??![]()

Salama baba chanja. Nimekumiss tuNjema tu za uwepo wako?
Jirani wa DUNIAAAMie ninaupendo sana mydear, sema tuu watu hawanielewi. Siunakumbuka ile list tena hakuna popo niliyemuacha. Haki nyie ni watu wangu wa nguvu
Yupi sasa maana wapoAhahahaaaaaa shemejiiii, namvizia honey wangu
Sijui yupo wapi leo


Furaha moyoniMbona hivyo lakini?