Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Baby I miss youAsante, nitarudi...
Baby I miss youAsante, nitarudi...
Mwalimu si ulisema tupo holiday lkn!Mwanafunzi wangu mbona hujahudhuria class?
Au hupendi MEMKWA?

Watu wanakaribia kushiba wewe unaanza na salamu huku punje zimebaki kiduchukuWakuu mpo
Nasubiria jibu lako
Hizi tuhuma zote nimemuachia munguWasikusingizie ukahitajika kwa yule bwana misifa ndugu
Koh koh kohBaby I miss you
Tupo best, karibu tujumuikeWakuu mpo
Mie ninaupendo sana mydear, sema tuu watu hawanielewi. Siunakumbuka ile list tena hakuna popo niliyemuacha. Haki nyie ni watu wangu wa nguvuNey my dear! Nashukuru kwa kunitoa kimaso maso siku ya wapenfanao. Ulinithibitishia kuwa dunia nzima ni wewe pekee unayenipenda. Shukrani sana
Mbona hivyo lakini?
Hawez sema hayo maneno kwangu.
Yuko Napa acha aseme mwenyewe
Oooh. Kipenzi,mzima wewe? MarhabaSijambo shikamoo dada