KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Gahawa ishanishinda hata ninywe na kashata
Basi karibu hata baskuti mpwa...uchangamshe mdomo....!!!!?
Gahawa ishanishinda hata ninywe na kashata
Waache bwana
Nitambembeleza muuzaji aniongeze gahawa kikombe kingine......
Wanaweza kukuchangia hamsini kesho wakakufungulia uzi kuwa wamekufadhili dinner....

Sijalala nipo na Inna kuna kitu ananipa.Mtakatifu kalala saivi,ila hilo lijambazi hilo ndio atupe majibu....
SawaDuh! Kumbe bado nina safari mbele yangu. Asante kwa elimu hii
Viroba je?Gahawa ishanishinda hata ninywe na kashata
Haikuwa dhamira yangu.....Umenikimbia jana
Weeee,ngoja basi nimalizie balimi zangu kabisaaaaLeo lindo liko mikononi mwako
Kwa kweliOhoooo usilale bwana, tunahitaji uwepo wako
Inna nimemnyan'ganya simu kuna pm kibao watu wanamuamdikia. Namkomesha kwanzaUkimtaka Inna mtafute shemela wangu Saint Ivuga
Si unaulizwa za miaka na miezi yake hapo
Uniage naona usha anza kusinziapozi la konyagi
Legeza kidogo Mzee babaaInna nimemnyan'ganya simu kuna pm kibao watu wanamuamdikia. Namkomesha kwanza
Unavonijulia sasa baba chanja. Hata takuagaUniage naona usha anza kusinzia
Ha ha haaa unanichonganisha ujueMkuu habari za miezi kadhaa nyuma
HahahahahaaaWaache bwana
Nitambembeleza muuzaji aniongeze gahawa kikombe kingine......
Wanaweza kukuchangia hamsini kesho wakakufungulia uzi kuwa wamekufadhili dinner....