Hebu zitazame vizuri hizo sura (zoom) kisha unipe mrejesho.Hizo sura mbili za kutisha apo nilikuambia zitoe hutaki haya
Wote wako njema,ndio maana wengine tunajihisi very safe,.Thad ndo mshika funguo humu alipotea nazani alimkabidhi @Mwifa
Nadhani atakua na hasira na mdogo wangu kampotea ha ha haaa
Ahsante chief,..aina gani ya kahawa leo!?Karibu sana
Nshaziona tayariHebu zitazame vizuri hizo sura (zoom) kisha unipe mrejesho.
Imepelea hamsini hapo ikamilike hela ya kashata, bundi mmoja ajitose basi![]()
Kashata hutaki.....!?
Mzigo haubebeki huuuMambo ni mazito
Kabisa yaniWote wako njema,ndio maana wengine tunajihisi very safe,.
Kama kawaida mkuuPia nipo.
Zimekutishaulivyozizoom?Nshaziona tayari
Aiseee ndo nasubiria asemee hapaMtakatifu kalala saivi,ila hilo lijambazi hilo ndio atupe majibu....
Bhagoshaaaa....nimeitwa tena mwanaume, kwa leo tu wewe ni mtu wa 3 kudhani ni mwanaume. Sijui tatizo ni nini![]()
![]()
![]()







Yana bebeka sana tuMzigo haubebeki huuu
Umenikimbia janaZimekutishaulivyozizoom?
Imepelea hamsini hapo ikamilike hela ya kashata, bundi mmoja ajitose basi![]()
![]()
![]()
![]()
Umemuona akupe jibuuu mamy
Nafurahi kusikia kuwa wajihisi safe unapokuwa mahali hapaWote wako njema,ndio maana wengine tunajihisi very safe,.