HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Mambo ni mazitoAiseee kumbe tunguli za mshana zimefanya kazi poyeeeee sana baby akeeee miyeeeee
Mambo ni mazitoAiseee kumbe tunguli za mshana zimefanya kazi poyeeeee sana baby akeeee miyeeeee
Mtakatifu kalala saivi,ila hilo lijambazi hilo ndio atupe majibu....Aisee ngoja nisubir walete majibu
Bhagoshaaaa....nimeitwa tena mwanaume, kwa leo tu wewe ni mtu wa 3 kudhani ni mwanaume. Sijui tatizo ni niniAsanteee shemela mpyaaaaaa

Basi kanifinyia mana tunaonaona na mimi namuulizia pia ananambia haupo.Baba chanja itaaaa. Mie mpaka namuulizia ney namuweka kingora akikuona aanze kulia lakini wapiiiii. Kimyaaaaaaaaa.
Nipo vipi wewe za masiku?
Kuhusu tatizo lako.Poa mumu......karibu sana
Saint IvugaSjamuona aisee hivi shemej hapa nan tumuulize inna yuko wapi
Kumbe huyu mwingine mbwembwe tyuu,.heheehAaaghaa wapi....inna kwa shemela ivuga tyuuu

Acha kubembea, ukishikwa shikamanaBado na bembea![]()
![]()
![]()
Naona kashata paleVijana mpo
Sisi walinzi ndio kumekucha lindoni.....
![]()
Mbwembwe tu. Inna wa ivuga tuuu,had I tunguli za mshana zimedundaKumbe huyu mwingine mbwembwe tyuu,.heheeh![]()
Hapo ndio penyeweAsubuh itapendeza zaidi
Naona kashata pale
Hi chief chief....
Hizo sura mbili za kutisha apo nilikuambia zitoe hutaki hayaBhagoshaaaa....nimeitwa tena mwanaume, kwa leo tu wewe ni mtu wa 3 kudhani ni mwanaume. Sijui tatizo ni nini![]()
![]()
![]()
Duh! Kumbe bado nina safari mbele yangu. Asante kwa elimu hiiKuhusu tatizo lako.
Kuna meno ambayo huchelewa kuota ili kukamilisha idadi ya meno 32 kwa mtu mzima.
Meno hayo ni magego yanayojulikana kama Third molars(Wisdom teeth).
Huanza kujitokeza(kukua) kuanzia umri wa 17/18-25 yrs.
Hujitokeza mwisho kwenye magego ama kwenye taya la juu au chini.
Wakati wanajitokeza/kukua huwa kunakuwa na maumivu ambayo unayasikia lakini yakikamilika kuota hayo maumivu yanaisha.
Sasa linganisha tatizo lako na haya maelezo kama yanaendana basi jua tatizo litatoweka pindi haya meno yakikamilika kuota
Mkuu habari za miezi kadhaa nyumaNahaaam upo au ushapotea?