JamiiForums Usiku wa manane
Bila shaka vijana mmepitia hatua hii labda wale wa seminari....

a0f194f48b77d6a390cb1b83f9e4d185.jpg
Hahahahahahaa

Ni ile kusema kesho lazima nimuibukie mtoto, kesho ikifika na ukikutana naye unaishiwa point na kuishia kujing'ata vidole.

Ukienda kuwaeleza washikaji zako wanaanza kukushushia maneno na hapo unajikaza na kujiapiza kuwa siku inayofuata lazima umalize mchezo, kibaya zaidi hali inabaki vile vile.

Mwishowe wanakuchukua kwa nguvu na kukupeleka kabisa
 
Hahahahahahaa

Ni ile kusema kesho lazima nimuibukie mtoto, kesho ikifika na ukikutana naye unaishiwa point na kuishia kujing'ata vidole.

Ukienda kuwaeleza washikaji zako wanaanza kukushushia maneno na hapo unajikaza na kujiapiza kuwa siku inayofuata lazima umalize mchezo, kibaya zaidi hali inabaki vile vile.

Mwishowe wanakuchukua kwa nguvu na kukupeleka kabisa
Hivi kinachowafanya muogope ni nini?
 
Back
Top Bottom